1.6 Uhamasishaji wa jamii kuhusu utunzaji baada ya kuzaa

Uhamasishaji wa jamii hufasiliwa kama shughuli zinazoanzishwa na jamii au watu wengine ambazo hupangwa, hutekelezwa na kutathminiwa na wanajamii, mashirika au vikundi ili kusuluhisha matatizo ya kiafya katika jamii. Katika Kipindi hiki cha somo tunalengo matatizo ya kiafya yanayotokea katika kipindi cha baada ya kuzaa. Uhamasishaji wa jamii ni mchakato endelevu na limbikizi wa mawasiliano, elimu na mpangilio ili kujenga nafasi za uongozi na utekelezaji.

1.5.3 Kufuatilia baada ya huduma ya mwanzoni mwa kipindi cha baada ya kuzaa

1.6.1 Mbinu za kuhamasisha utendaji wa jamii