Malengo ya mafunzo ya Kipindi cha 2

Katika Kipindi hiki, utajifunza:

2.1 Kufafanua na kutumia kwa usahihi maneno yote yaliyoandikwa katika herufi nzito (Swali la kujitathmini 2.1).

2.2 Kueleza kuhusu miitiko ya kifiziolojia inayotarajiwa katika puperiamu ya kawaida kwa kina mama waliozaa (Swali la kujitathmini 2.2).

2.3 Kueleza ushauri utakaowapa kina mama waliozaa ili waweze kujitunza nyumbani kwao katika puperiamu (Swali la kujitathmini 2.2).

Kipindi cha 2 Puperiamu ya Kawaida

2.1 Mabadiliko kwenye viungo vya uzazi katika puperiamu