2.1 Mabadiliko kwenye viungo vya uzazi katika puperiamu
Matukio muhimu ya kifiziolojia katika puperiamu ni kurudi kwa viungo vya uzazi na viwango vya homoni za kike katika hali ilivyokuwa kabla ya ujauzito. Tutaeleza kwa kifupi mabadiliko haya na kulenga yanayoweza kutarajiwa kwa mwanamke asiyepata matatizo baada ya kuzaa.
Back to previous pagePrevious
Malengo ya mafunzo ya Kipindi cha 2