Malengo ya Somo la Kipindi cha 3

Baada ya kipindi hiki, utaweza:

3.1 Kufafanua na kutumia kwa usahihi maneno yote muhimu yaliyochapishwa kwa herufi nzito. (Swali la Kujitathmini 3.1)

3.2 Kuelezea visababishi vya kuvuja damu iliyochelewa baada ya kuzaa. (Swali la Kujitathmini 3.1)

3.3 Kujadili aina za kawaida za maambukizi ya puperiamu na hatari zake. (Swali la Kujitathmini 3.2)

3.4 Kutambua dalili hatari za mvilio ndani ya mshipa wa damu. (Swali la Kujitathmini 3.3)

3.5 Kufafanua nakala ya kliniki ya puperiamu isiyo ya kawaida, ikiwa ni pamoja na matatizo akilini baada ya kuzaa. (Swali la Kujitathmini 3.1 na 3.4)

Kipindi cha 3 Puperiamu isiyo ya Kawaida

3.1 Kuvuja damu baada ya kuzaa