3.5 Matatizo ya Akilini baada ya kuzaa

Matatizo ya akili ni jambo la kawaida baada ya kuzaa na ni pamoja na 'kununa' baada ya kuzaa, masumbuko baada ya kuzaa, na kichaa baada ya kuzaa.

3.4 Mvilio ndani ya mshipa wa damu

3.5.1 Kununa na masumbuko baada ya kuzaa