Malengo ya Somo la Kipindi cha 6

Baada ya masomo ya Kipindi hiki, unatarajiwa:

6.1 Kufasili na kutumia kwa usahihi maneno yote yaliyoandikwa kwa herufi nzito. (Swali la Kujitathmini 6.1, 6.2 na 6.3)

6.2 Kutaja maswali muhimu unayohitaji kumuuliza mama ili kubaini hali ya mtoto wake mchanga.

6.3 Kutambua dalili hatari za kijumla za mtoto mchanga kisha kueleza hatua zinazohitaji kuchukuliwa. (Swali la Kujitathmini 6.2)

6.4 Kueleza jinsi ya kuzuia au kupunguza hatari ya mtoto mchanga kuambukizwa. (Swali la Kujitathmini 6.3)

Kipindi cha 6 Uchunguzi wa Kidesturi wa Watoto Wachanga ili Kubaini Hali Hatari

6.1 Hatua za kwanza kabla ya kumchunguza mtoto mchanga