8.2 Uainishaji wa sifa bainifu za watoto waliozaliwa kabla ya kuhitimu muhula na waliozaliwa wakiwa na uzani wa chini

Jinsi mtoto mzawa alivyo na uzani wa chini na umri mdogo ndivyo alivyo katika hatari kuu ya kukumbwa na matatizo, na hata kufa, na ndivyo anavyohitaji utunzaji maalum zaidi. Utunzaji anaohitaji unafaa kuzingatia uainishaji wa watoto waliozaliwa kabla ya wakati na wakiwa wadogo sana kama ilivyoelezwa hapa chini.

8.1 Je, ni kwa nini watoto waliozaliwa kabla ya kuhitimu muhula au wakiwa na uzani wa chini wanahitaji utunzaji maalum?

8.2.1 Uainishaji kwa kuzingatia uzani wa wakati wa kuzaliwa