8.5.2 Kubaini kama mtoto yuko salama katika UKM

Katika kila ziara ya baada ya kuzaa unafaa:

  • Kukadiria kima cha kupumua cha mtoto, ukihakikisha kuwa hapumui kwa kasi sana.
  • Kuhakikisha kuwa mtoto analishwa vyema.
  • Kupima kiwangojoto cha mwili cha mtoto kwapani, ukihakikisha kuwa ni cha kawaida.
  • Kama mtoto yuko salama, Kuidhibitishia familia, iwapo mtoto yuko salama, lakini uwaarifu watafute msaada wako punde wanapokumbwa na tatizo lolote.

8.5.1 Utaratibu wa UKM

8.5.3 Kumshauri mama na familia kuhusu umuhimu wa UKM