Nyenzo-rejea ya 1: Haki na wajibu wa watoto- Orodha ya darasa ya mwalimu Nqwinda

Mifano ya kazi za wanafunzi

Wajibu wetu ni:Haki zetu ni:
Kusafisha nyumbaMalazi (nyumba ya kuishi)
Kuchanja kuni na kuchota majiChakula
Kuwalea wadogo zetuKulindwa (ili tusidhurike)
KupikaKulindwa na watu wazima
KulimaKutibiwa tukiwa wagonjwa
Kuwasikiliza na kuwatiiKwenda shule

Nyenzo-rejea ya 2: Haki za mtoto katika Tanzania