Nyenzo-rejea ya 2: Karatasi-kazi kwa ajili ya ziara sokoni
1. | Kuna magenge mangapi sokoni? |
| |
| |
2. | Mazao ya aina gani huuzwa huko? |
| |
| |
3. | Nani anamiliki/anasimamia soko? |
| |
| |
4. | Saa za kufungua soko ni zipi? |
| |
| |
5. | Soko jingine lililo karibu liko wapi? |
| |
|
Wanafunzi wanaweza kumuuliza mchuuzi mmoja:
1. | Ulianzaje biashara yako? |
| |
2. | Mazao unayouliza hutoka wapi? |
| |
3. | Unakokotoaje bei zako za kuuzia |
| |
4. | Unakokotoaje faida yako? |
| |
5. | Unatumia usafiri gani kuja sokoni? |
| |
6. | Kuna umbali gani kati ya soko na mahali unapoishi? |
| |
7. | Tatizo kubwa kuliko yote kwa wachuuzi wa sokoni ni lipi? |
|
Nyenzo-rejea ya 1: Njia za kuchuma fedha – Orodha ya darasa ya Bwana Petro