Nyenzo-rejea ya 2: Karatasi-kazi kwa ajili ya ziara sokoni

1.Kuna magenge mangapi sokoni?

2.Mazao ya aina gani huuzwa huko?

3.Nani anamiliki/anasimamia soko?

4.Saa za kufungua soko ni zipi?

5.Soko jingine lililo karibu liko wapi?

Wanafunzi wanaweza kumuuliza mchuuzi mmoja:

1.Ulianzaje biashara yako?

2.Mazao unayouliza hutoka wapi?

3.Unakokotoaje bei zako za kuuzia

4.Unakokotoaje faida yako?

5.Unatumia usafiri gani kuja sokoni?

6.Kuna umbali gani kati ya soko na mahali unapoishi?

7.Tatizo kubwa kuliko yote kwa wachuuzi wa sokoni ni lipi?

Nyenzo-rejea ya 1: Njia za kuchuma fedha – Orodha ya darasa ya Bwana Petro

Sehemu ya 4: Kutalii mazingira