Nyenzo-rejea 4: Maswali kuhusu utumizi wa ardhi

1.Ardhi inaweza kutumika kwa njia ngapi tofauti? Ziorodheshe.

2.Kwa nini ni muhimu kutunza ardhi?

3.Kwa nini watu wengine ni wachoyo zaidi kuliko wengine? Kwa nini ni lazima tugawane ardhi yetu?

4.Tunawezaje kuwahamasisha watu kuhusu tabia ya kugawana? Je, ni lazima tugawane kila kitu?

5.Je, tunatunza ardhi yetu vizuri?

6.Ni nani mwingine tunagawana naye ardhi yetu?

7.Ni kwa jinsi gani tunaweza kutunza ardhi yetu vizuri?

8.Sisi tukiwa wanadarasa, tunaweza kufanya nini ili tutunze ardhi ya shule?

Nyenzo-rejea 3: Hadithi ya mkulima mchoyo

Nyenzo-rejea 5: Sebastian Chuwa