Nyenzo-rejea ya 1: Namba mraba

Nyenzo ya Mwalimu kwa ajili ya kupanga/kurekebisha na kutumia na wanafunzi

Kwanza chora umbo mraba ubaoni na kuandika sm 2 katika pande zake na ligawanye katika miraba ya sm 1 kama inavyooneshwa.

Mwamuzi/jaji wa kwanza ahesabu mraba wa sm 1 na kuandika hii namba.

Mwandishi wa kwanza achore umbo mraba la sm 3 na pia aligawe katika maumbo mraba ya sm1 na rekoda ahesabu na kurekodi maumbo mraba hayo madogo.

Shughuli hii inaendelea kwa umbo mraba la sm 4, sm 5 na sm 6.

Mifano

Hapa kuna namba-mraba:

Waambie wanafunzi wawili wawili wachore namba mraba nyinginezo hadi mia moja. Wanafunzi hao wawili wawili hupeana zamu za kuchora na kuhesabu/kurekodi namba hizo.

Nyenzo-rejea ya 2: Jedwali la kuzidisha