Nyenzo-rejea ya 3: Matukio muhimu kuelekea uhuru

Taarifa za msingi/welewa wa somo wa mwalimu utangulizi

1957Ghana inakuwa nchi ya kwanza ya Afrika kupata uhuru chini ya Kwame Nkrumah kupitia mikutano kama ile ya Ghandi, migomo, kuwalazimisha Waingereza kutoa uhuru
1958Chinua Achebe(Nigeria): Things Fall Apart, kilicho andikwa kwa ‘Kingereza cha Kiafrika’ kinachunguzia madhara ya utamaduni wa Magharibi kwa tamaduni za asili.
1958Mkutano wa mataifa yote ya Afrika: suluhisho la ubepari na ukolini, Accra, 5-13 Desemba 1958
1954–1962Makoloni ya Kifaransa (mataifa ya Kiafrika yanayo zungumza Kifaransa) yanakataa kuendelea kutawaliwa hata kama wanatambua kuwa uchumi na tamaduni zao bado zinategemea Ufaransa-isipokuwa Algeria iliyokua na walowezi wapatao millioni 1. Vita vya kikabila nchini Algeria viliendelea hadi ulipopatikana uhuru mwaka 1962, miaka sita baadae baadaye Moroko na Tunisia kupata uhuru.
1958Makaburu wenye asili ya Kidachi walipata uhuru kutoka kwa Waingereza Afrika Kusini.
1964Nelson Mandela, katika hukumu ya uhaini na viongozi wenzake wa ANC mbele ya Mahakama Kuu ya
Pretoria, anatoa hotuba kali kabla hajafungwa kwa muda wa miaka 25 katika gereza lililo kisiwani Robben.
1960–1961Zaire (koloni la zamani la Ubelgiji) linapata uhuru kutoka kwa Wabelgiji mwaka 1960. Halafu katika mji wa Elisabethville( sasa Lubumbashi ), kiongozi mzalendo Patrice Lumumba aliuwawa mwaka 1961, na kanali Joseph Desere Mobuto (30) ambaye alikuja kuwa raisi. (Bill Berkeley, ‘Zaire: An African Horror Story’, The Atlantic Monthly, August 1993; rpt. Atlantic Online)
1962Algeria inapata uhuru kutoka kwa Wafaransa, zaidi ya walowezi 900,000 wanaihama nchi mpya.
1963Kenya inatangaza uhuru kutoka kwa Waingereza
1963 

Mkataba wa umoja wa nchi huru za Afrika, 25 Mei

1963

Mid-60sNchi nyingi za Afrika zinapata uhuru na kipindi cha ukoloni kinaisha. Vile vile utawala wa uchumi na utamaduni wa magharibi na uchu wa mali na madaraka vinaongeza matatizo yanayozikumba nchi huru za Kiafrika.
1965Rodesia: kutangazwa kwa utawala wa watu wachache
1966Bechuanaland inapata uhuru na kuwa Botswana
1970s 

Wareno wanapoteza makoloni ya Afrika, pamoja na

Angola na Msumbiji

1976Cheikh Anta Diop( Senegal , 1923-1986), moja wa
wanataaluma wa Afrika wa karne ya 20, anatoa kitabu, Afrika chanzo cha Ustaarabu kuondoa uvumi (kuhusu historia ya Afrika) tulio jifunza na kusahihisha kwa kizazi kijacho.
1980Zimbabwe ( zamani Rodesia ya Kusini inapata uhuru kutoka kwa walowezi wa kizungu baada ya miaka kadhaa ya uadui
1970s–1980sWatawala wachache wa Kizungu Afrika Kusini wanasisitiza kuendeleza ubaguzi na mfumo usio na usawa wa ubaguzi wa rangi kupelekea vurugu, uadui, migomo na mauaji kutawala.
1986 

Mnigeria mwandishi wa tamthilia za fasihi Wole

Soyinka anatuzwa zawadi ya Nobel 1986.

1988Mmisri mwandishi wa hadithi na hadithi fupi Nahfouz anatuzwa zawadi ya Nobel 1988, mwandishi wa kwanza kushinda akiwa Kiarabu ndiyo lugha yake ya asili(ya kwanza)
 

1994

       

1996

 

Wahutu waliua Watusi wapatao 1,000,000, huku wakiogopa serikali ya Kitusi kulipa kisasi zaidi ya wahutu millioni 1 walihama Rwanda kwa mkupuo na kuvuta hisia dunia nzima.

    

Wakimizi wa Kihutu kama 500,000 walirudi Rwanda kutoka Zaire kuepuka vita nchini zaire

2001 

Baada ya miaka 38 ya uwepo,OAU (http://

oau.oua.org) inageuzwa kuwa Umoja wa Afrika (AU)

Kalenda-Nchi za Afrika katika mpangilio wao wa kupata uhuru

Imenukuliwa kutoka: Decolonization of Africa, Wikipedia, Website

Nyenzo 2: Jedwali la Kalenda ya matukio ya Kiafrika

Sehemu ya 5: Kutumia kazi za sanaa kujifunza mambo ya kale