Nyenzo-rejea ya 2: Kwa nini watu husimulia hadithi
Mfano wa kazi za wanafunzi
Ubao wa Bibi Rashe
Ni kwa nini watu husimulia hadithi?
kufurahisha √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ 35
kuogopesha watu √√√√√ √√ 7
kunifundisha kutofanya jambo fulani √√√√√ √√√√√ 10
kufundisha busara juu ya maisha √√√√√ √√√√√ √√√√ 14
kuonesha tabia sahihi, √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√√√√ √√ 32
kukuza lugha yetu, √√√√√ √√ 7
mpango wa ripoti ya utafiti
Swali la utafiti
Tulifanya nini
Tunachambuaje data
Tulipata nini
Ripoti juu utafiti wa hadithi
Wanafunzi wa darasa la 3 waliwauliza watu wazima: ‘Kwa nini watu husimulia hadithi?’
Watu wazima wapatao 35 walilijibu swali hilo.
Wanafunzi waliandaa orodha ya majibu, na walihesabu watu wangapi walijibu kila swali.
Kifani cha ripoti
Watu 34 walidhani kuwa hadithi husimuliwa kwa ajili ya kuwafurahisha wasikilizaji.
Watu 32 walidhani kuwa hadithi husimuliwa ili kuonesha tabia nzuri/sahihi.
Watu 14 walidhani kuwa hadithi husimuliwa ili kufundisha busara katika maisha.
Watu 10 walidhani kuwa hadithi husimuliwa ili kufundisha watu kutofanya jambo fulani.
Watu 7 wao walidhani hadithi husimuliwa ili kukuza lugha.
Watu 7 walidhani kuwa hadithim husimuliwa ili kuogofya watu.
Nyenzo-rejea ya 1: Ngano za kimapokeo