Nyenzo-rejea ya 3: Maswali kuhusu hadithi

Usuli/taarifa ya mwanzo/uelewa wa mwalimu

  1. Ni watu gani ambao kwa kawaida husimulia hadithi?
  2. Wanawasimulia nani?
  3. Wapi na lini hadithi husimuliwa?
  4. Kwa nini watu husimulia hadithi?
  5. Husimuliaje hadithi? (mtindo wa usimulizi)
  6. Je, hadithi mpya pia husimuliwa kama zinavyosimuliwa za zamani ? Ni sababu zipi zinazopelekea kutungwa kwa hadithi mpya?

Nyenzo-rejea hii ni nzuri kwa matumizi ya wanafunzi wakubwa. Kwa wanafunzi wadogo ungeweza kuwa na hiyari ya kuchagua swali moja au mawili kati ya haya kwa ajili wanafunzi wako kuchunguza.

Nyenzo-rejea ya 2: Kwa nini watu husimulia hadithi

Nyenzo-rejea ya 4: Namna Bibi Mwenda alivyopata hadithi yake