Nyenzo-rejea ya 2: Sampuli ya maswali ambayo wanafunzi wangeweza kuuliza ili kwelewa zaidi kuhusu makundi husika ya kijumuiya

Nyenzo-rejea ya Mwalimu ya kutumia katika kupanga au kurekebisha pamoja na wanafunzi

  • Nini jina la kundi lako?

  • Nini lengo la asasi yako?

  • Unawasaidia wanajumuiya gani?

  • Unatoaje msaada huu?

  • Wanajumuiya yako ni nani?

  • Nani anaweza kuwa mwanakundi lako?

  • Mnakutana mara kwa mara? Kama ndiyo, lini na wapi?

Nyenzo-rejea 1: Jumuiya ni nini?

Nyenzo-rejea ya 3: Sheria/Kanuni za familia moja