Nyenzo-rejea ya 3: Sheria/Kanuni za familia moja

Nyenzo-rejea ya Mwalimu ya kutumia katika kupanga au kurekebisha pamoja na wanafunzi

Kanuni za familia moja

Watoto wanafanya kama walivyoambiwa. Wasichana

wanawasaidia mama zao kazi za nyumbani. Wavulana

wanawasaidia baba na wajomba zao shambani. Watoto

wanatulia na wanakuwa na hekima mbele ya wakubwa. Watoto

wanaondoka chumbani mgeni anapokuja.

Watoto hawawezi kucheza nje ya nyumbani siku ya Jumapili.

Watoto wakubwa wanawalea watoto wadogo.

Daima hakuna kusema uongo.

Nyenzo-rejea ya 2: Sampuli ya maswali ambayo wanafunzi wangeweza kuuliza ili kwelewa zaidi kuhusu makundi husika ya kijumuiya

Nyenzo-rejea ya 4: Igizo kuhusu mahusiano ya kijumuiya