Nyenzo-rejea ya 2: Vidokezo vya barua ya mwandishi
Nyenzo-rejea ya Mwalimu ya kutumia na wanafunzi kwa ajili ya kupanga/kurekebisha
Mwandishi anaweza kuwa mwanafunzi darasani kwako. Kama mna vitabu mnavyochangia na darasa jingine, mwandishi anaweza kuwa darasa hilo au mwanafunzi katika darasa hilo.
Bwana ………
Tumesoma ……… (kichwa cha habari cha hadithi) darasani kwetu. Tulifikiri kuwa ungependa kujua maoni yetu kuhusu hadithi hii.
Kwanza, tunapenda……… (sentensi moja au mbili hapa). Tunapenda hii kwa sababu……… (wanafunzi waandike sababu zao).
Tunapenda pia……… (sentensi moja au mbili hapa). Tulifurahia hadithi hii kwa sababu……… (wanafunzi wanaandika sababu zao).
Lakini , hatukupenda ……… (sentensi moja au mbili hapa). Hatukupenda hili kwa sababu (wanafunzi waandika sababu yao).
Tunatarajia kuwa utakapoandika hadithi nyingine ………….(wanafunzi wanatoa mapendekezo yao).
Wako
(jina la darasa)
Nyenzo-rejea ya 1: Uulizaji wa maswali – kuwahimiza wanafunzi kufikiri kwa umakinifu kuhusu hadithi