Nyenzo-rejea 6: Kukadiria hadithi yako

Usuli/taarifa ya mwanzo/uelewa wa mwalimu

Maswali

  1. Darasa lilifurahia hadithi yako?
  2. Umejuaje ?
  3. Darasa limejifunza kitu kutokana na hadithi yako?
  4. Hadithi yako inatoa ujumbe wake vizuri?
  5. Umejuaje?

Nyenzo-rejea 5: Mto uliofagilia mbali waongo

Sehemu ya 2: Njia za kukusanya na kutenda hadithi