Nyenzo-rejea 5: Vitenzi na vielezi katika shairi – Ngoma Yangu na Francis Faller

Taarifa za msingi / welewa wa somo wa mwalimu

Katika tafsiri hii ya shairi vitenzi vimepigiwa mstari na vielezi vimewekewa wino uliokolezwa.

Inapiga

kwa uvumilivu

kama maji

yadondokayo

Dokezo 1: patiently ni kielezi cha namna, ambacho kinaeleza jinsi ngoma inavyopiga/lia: kwa utulivu, kwa kurudiarudia pasipo kuudhika au kuwa na hasira.

toka kwenye

bomba la

mfereji

Dokezo 2: dripping ni sehemu ya kitenzi kamili ‘is dripping’: kama maji [that is/ambayo] inadondoka – mshairi ameamua kutotumia ‘that is’.

au kwa majivuno

kama sauti ya mapigo ya maji ya bahari.

Ngoma yangu. Ngoma yangu.

Inaita upendo.

Inatwanga hasira.

Dokezo 3: proudly vilevile ni kielezi ambacho kinaeleza jinsi ngoma inavyolia: kwa kujipenda, kama kwamba inajifurahia sana.

Inahubiri uhuru.

Haisimami kamwe

Hata wakati hakuna mtu

anayesikia ngoma yangu

isipokuwa mimi.

Dokezo 4: never ni kielezi cha wakati ambacho kinaongezea taarifa kwenye kitenzi ‘stops’: ngoma haiwezi kusimama hata mara.

Ngoma yangu inasalimia

kila kitu

kinachopita njia: jua

Dokezo 5: battering ni sehemu ya kitenzi kamili ‘is battering’: mvua [that is/ambayo] inagongagonga.

linalochomoza mvua

igongayo upepo

unaovuma familia ya

korongo makazi

Dokezo 6: monotonously ni kielezi cha namna ambacho kinaeleza jinsi kazi ya kuchimba inavyoendelea kwa namna inayochosha na ya kurudiarudia

pote angani.

Inamsalimia chenene

Anayelia mlio mwembamba kwa sababu ya raha yake.

Dokezo 7: It’s ni kifupi cha It is na ‘is’ ni kitenzi, ingawa si kitenzi kinachoonesha tendo.

Inawasalimia wafanyakazi

ambao vifaa vyao vya kutobolea na kupasulia

vinachimba mashimo

Dokezo 8: Nervously ni kielezi cha namna ambacho kinaeleza jinsi ngoma inavyolia: kama kwamba ngoma ina hamu au ina woga kidogo.

kwa kuchosha.

Dokezo 9: ‘will come’ ni iko katika njeo ijayo lakini iko katika muundo wa swali, ‘will you come?’

Ninaifuatilia katika

kicheko Ninaiongoza

kuvuka maumivu

yanayopwita.

Ni shorewanda anayedonoa mbegu

You should ni muundo uliofupishwa wa You should come – vilevile ni tendo katika njeo ijayo.

ni ufito kando ya ukingo

Dokezo 10: was ni njeo iliyopita ya ‘is’.

ni risasi iendayo kasi.

Ngoma yangu. Ngoma yangu.

Dokezo 11: Strong kwa kawaida ilitakiwa iandikwe ‘strongly’: hiki ni kielezi ambacho kinaeleza jinsi ngoma inavyolia.

Inapiga kwa kiherehere

makaribisho

kwa ajili yako.

Dokezo 12: wasn’t stretched ini kitenzi kilicho katika njeo iliyopita.

Je, utaisikia

kwa furaha?

Je, utakimbia kwa hofu?

Dokezo 13: never ni kielezi cha wakati (tazama Dokezo 4).

Ngoma ni

ngozi na mbao tu

kwa hiyo utakuja?

Ni lazima uje.

Ni lazima uje.

Dokezo 14: could not live na should die ni vitenzi ambavyo vinarejelea katika wakati ujao kwa sababu vinaashiria kwamba mshairi hataweza kuishi hapo baadaye bila ngoma.

Ngoma yangu kipenzi ilikuwa jana dhaifu sana. Leo inapiga.

Kwa nguvu.

Hakika haikutumika zaidi

duniani kote

kupiga bure.

Ingawa kamwe

Dokezo 15: Wanafunzi wanaweza kukanganywa na maneno yanayoishia na ‘ing’. Wakati mwingine maneno haya ni sehemu ya kitenzi, mfano: ‘I am singing. Pengine maneno haya ni nomino, mfano: ‘The singing’ of the choir was excellent. Pengine, ni vivumishi ambavyo vinafafanua nomino, mfano: ‘The singing canaries’ flew to the top of their cage. Katika shairi hili dripping, battering, chirping, digging, pecking, beating ni sehemu za vitenzi. The pounding ni nomino. Throbbing ni kivumishi kinachofafanua pain.

haipati jibu

Ninafikiri

sitaweza kuishi

kama wimbo

wa ngoma yangu

utakufa.

Everything ni kiwakilishi ambacho kinasimama mahali pa nomino ambazo zinakifuatia katika ubeti wa 2. For nothing ni msemo ambao unamaanisha ‘without payment/bila malipo’ au ‘for no reason/bila sababu’.

Nyenzo-rejea 4: Shairi la kusifu

Sehemu ya 3: Kuunda Fursa za Mawasiliano