Matokeo ya Somo la Kipindi cha 1

Baada ya Kipindi hiki utaweza:

1.1 Kufasili na kutumia vizuri maneno ya kina yalioandikwa kwa herufi nzito. (MK 1.1, 1.2, 1.3, na 1.4)

1.2 Kueleza dalili za leba halisi na kubainisha kati ya leba halisi na bandia. (MK 1.2 na 1.3)

1.3 Kumweleza mama jinsi ya kutambua mwanzo wa leba. (MK 1.2)

1.4 Kueleza viashirio na utaratibu wa awamu nne za leba. (MK 1.4)

1.5 Kueleza awamu saba kuu ambazo mtoto hupitia anaposhuka kwenye njia ya uzazi wakati wa leba ya kawaida. (MK 1.4)

Kipindi cha 1 cha somo Kutambua Leba ya Kawaida

1.1 Asilia isiyodhahiri ya leba