1.3 Awamu za leba

Katika Kipindi hiki, utajifunza mawaidha ya msingi kuhusu awamu za leba na kuzaa. Kila awamu imeelezwa waziwazi katika vikao vya masomo vitakavyofuata katika moduli hii. Leba imeainishwa katika awamu hizi nne.

  • Awamu ya kwanza ya leba ni wakati seviksi hufunguka.
  • Awamu ya pili ni wakati wa kusukuma, ambayo huisha mtoto anapozaliwa.
  • Awamu ya tatu ni kuzaliwa kwa kondo.
  • Awamu ya nne ni masaa manne ya kwanza baada ya kuzaa.

1.2.4 Kumsaidia mama kutambua leba halisi

1.3.1 Awamu ya kwanza ya leba