1.3.3 Awamu ya tatu ya leba
Katika awamu ya tatu ya leba, plasenta na membreni hutoka baada ya mtoto kuzaliwa. Kwa kawaida, awamu ya tatu huchukua hadi dakika 30. (Utajifunza zaidi kuhusu awamu hii katika Kipindi cha 6 cha Somo kwenye moduli hii.)
Back to previous pagePrevious
1.3.2 Awamu ya pili ya leba