1.4.3 Kukunjika

Kukunjika ni wakati kichwa cha mtoto hujipinda hadi kidevu kikagusa kifua (Mchoro 1.3, mchoro wa 2). Kukunjika hutokea wakati wa kushuka, kichwa kinaposukuma tishu laini na mifupa ya pelvisi ya mama. Mabadiliko haya huwezesha hata kipenyo kidogo kabisa cha mtoto kipitie kwenye pelvisi ya mama.

1.4.4 Kuzungukia ndani