1.4.5 Kutandazika

Baada ya mwendo wa kuzungukia ndani kukamilika, kichwa cha mtoto hupitia kwenye pelvisi. Leba husita kidogo wakati shingo la mtoto lingali chini ya pindo la kinena la mama. Baadaye, kutandazika kwa kichwa na shingo za mtoto hufuata. Shingo linatandazika ili kuzuia kidevu kusukuma kifua cha mtoto. Kilele cha kichwa, uso, na kidevu huzaliwa (Mchoro 1.3, mchoro wa 4 na 5).

1.4.4 Kuzungukia ndani

1.4.6 Kuzungukia nje (kurejea)