1.4.8 Hitimisho

Mwendo wa kushuka hufanyika katika kila awamu ya leba. Hususan, baada ya kichwa cha fetasi kutandazika, mtoto hushuka. Baada ya kuzungukia ndani, mtoto hushuka. Baada ya kutandazika, mtoto hushuka, na kadhalika. Utaratibu wa leba ya kawaida umeelezwa kwa kina zaidi katika Kipindi kinachofuata.

Muhtasari wa Kipindi cha somo la 1