1.4.8 Hitimisho
Mwendo wa kushuka hufanyika katika kila awamu ya leba. Hususan, baada ya kichwa cha fetasi kutandazika, mtoto hushuka. Baada ya kuzungukia ndani, mtoto hushuka. Baada ya kutandazika, mtoto hushuka, na kadhalika. Utaratibu wa leba ya kawaida umeelezwa kwa kina zaidi katika Kipindi kinachofuata.
Back to previous pagePrevious
1.4.7 Kutolewa