2.3 Uchunguzi wa mwili wakati wa leba

Ukichunguza mwili wa mwanamke aliye katika leba, zingatia zaidi fumbatio, uke na seviksi. Kumbuka kufanya yafuatayo:

  • Dumisha siri
  • Zingatia kanuni za huduma inayozingatia maslahi ya mwanamke (Kisanduku 2.1)
  • Mchunguze kutoka kichwa hadi miguuni
  • Tambua iwapo ana dalili za anemia (kuparara dani ya vikawa vya macho, kucha za vidole na ufizi.
  • Tambua iwapo ana rangi ya manjano machoni (umanjano). Rangi hii huashiria ugonjwa wa ini.

2.2.4 Dalili na ishara hatari

2.3.1 Kuchunguza fumbatio