3.1 Kukadiria mahitaji ya mwanamke aliye katika leba
Kila mwanamke huhitaji usaidizi wa aina tofauti. Hata hivyo wanawake wote huhitaji wema, heshima na usikivu. Mtazame na umsikilize ili ufahamu hisia zake. Mhimize ili ahisi kuwa mwenye nguvu na ujasiri wakati wa leba. Msaidie kutulia na kuanza kuipokea leba yake.
Back to previous pagePrevious
Malengo ya Somo la Kipindi cha 3