3.2 Ufuatilizi wa mama na fetasi wakati wa leba
Ni lazima umchunguze mama na fetasi vyema wakati wa leba. Njia pekee iliyobora ya kutathmini jinsi leba inavyoendelea na kutambua hali isiyo ya kawaida ni kumfuatila mama na mtoto.
Back to previous pagePrevious
3.1.10 Usaidizi wa kihisia na kisaikolojia kwa mwanamke aliye katika leba