3.3.1 Ishara za awamu ya pili ya leba

  • Mikazo inakuwa thaniti zaidi na inayosukuma nje.
  • Kinyeo hupanuka na kuacha kipenyo. (Sfinikta ya kinyeo hufunguka wakati wa mkazo.)
  • Sehemu ya fetasi inayotangulia hutokea chini ya vulva.
  • Seviksi hupanuka kabisa hadi sentimita 10.

3.3 Jitayarishe kuzalisha

3.3.2 Tayarisha mahali pa kuzalishia