5.1.2 Mtoto husongaje kupitia kwa njia ya uzazi?

Mchoro 5.4 kinaonyesha jinsi mtoto asongapo kupitia kwa njia ya uzazi. Mtoto husonga hivi iwapo kichwa kiko sawa mahali pake na mgongo ukielekea kwenye fumbatio la mama. Lakini watoto wengi hawakai jinsi hii. Mtoto ambaye huangalia upande wa mbele wa mama au atangulizaye matako, husonga kwa njia tofauti. Tazama kila uzazi kwa karibu uone jinsi watoto husonga katika hali tofauti tofauti.

Mchoro 5.4 Miendo saba mikuu ya mtoto katika leba na uzaaji.

5.1.1 Ni nini hutendeka katika hatua ya pili ya leba?

5.2 Msaidie mama na mtoto wawe na uzaaji ulio salama