5.2 Msaidie mama na mtoto wawe na uzaaji ulio salama

Endelea kuangalia dalili muhimu za mama ulivyofanya katika hatua ya kwanza ya leba.

Mchoro 5.5 Angalia mpigo wa moyo wa fetasi katika hatua ya pili ya leba.

5.1.2 Mtoto husongaje kupitia kwa njia ya uzazi?

5.2.1 Angalia mpigo wa moyo wa mtoto