5.3.1 Zuia kuraruka kwa ufa wa uke

Kutokea kwa kichwa cha mtoto kinaweza kurarua ufa wa uke wa mama. Shikilia uke ili kuzuia miraruko. Ukeketaji wa wasichana huwa kawaida katika baadhi ya jamii. (Kutahiriwa kwa wanawake pia huitwa ukeketaji.) Kitendo hiki cha kitamaduni kinachodhuru husababisha kovu zisizopanuka kutoshea mtoto kupita. Au kovu inaweza kuraruka mtoto anapozaliwa.

5.3 Tekeleza uzalishaji wa mtoto

5.3.2 Toa kichwa cha mtoto wakati anapozaliwa