5.3.4 Toa mabega ya mtoto
Baada ya kichwa kutoka, mtoto hugeuka na kutazama miguu ya mama. Ngoja mikazo ya baadaye. Mwambie mama asukume kwa utaratibu atakapohisi mikazo. Kwa kawaida, mabega ya mtoto hutoka nje. Ili kuzuia miraruko, jaribu kutoa bega moja kwa wakati ( Mchoro 5.10).
Usiinamishe kichwa cha mtoto sana. Elekeza kichwa lakini usikivute!
Back to previous pagePrevious
5.3.3 Angalia kama kambakitovu iko shingoni mwa mtoto