Matokeo ya Masomo ya Kipindi cha 6

Baada ya kipindi hiki, unatarajiwa:

6.1 Kufasili na kutumia kwa usahihi maneno yote muhimu yaliyo andikwa kwa herufi nzito. (Swali la Kujitathmini 6.1 )

6.2 Kueleza utaratibu halisia wa kifisiolojia wa kutolewa kwa plasenta. (Swali la Kujitathmini 6.1 )

6.3 Kueleza hatua zote 6 za udhibiti tendeti wa awamu ya tatu ya leba (UTATL). (Swali la Kujitathmini 6.2 )

6.4 Kuandika kwa muhtasari taratibu zote za kila dawa ya uterasi inayotumiwa katika UTATL. (Swali la Kujitathmini 6.2 na 6.3)

6.5 Kueleza jinsi ya kuchunguza plasenta na membreni ili kubaini kama zimetoka zingali nzima. (Swali la Kujitathmini 6.3 )

6.6 Kueleza dalili hatari zinazoashiria matatizo yanayoweza kutokea katika awamu ya tatu ya leba. (Swali la Kujitathmini 6.4 )

Kipindi cha 6 cha Somo Husika kwa Utendeti katika Kudhibiti Awamu ya Tatu ya Leba

6.1 Awamu ya tatu ya leba