7.1 Upumuaji na uhaishaji wa mtoto mchanga
Sehemu hii inaanza kwa muhtasari wa kile kinachofanyika iwapo ni sharti mtoto apumue kivyake. Ni lazima mtoto mchanga apitie na azoee mabadiliko kutoka kwa maisha ya ndani ya uterasi ya mama hadi ya nje.
Back to previous pagePrevious
Malengo ya Masomo ya Kipindi cha 7