7.2.1 Vifaa vya kimsingi vinavyohitajika kwa uhaishaji wa mtoto mchanga

  • Vitambaa viwili safi vya kitani au pamba: kimoja cha kumpanguzia mtoto huyo mchanga na kingine cha kumfunikia mtoto baadaye.
  • Sirinji ya plastiki aina ya balbu ya kuondolea viowevu kwenye kinywa na pua, hasa akiwa na mekoniamu.
  • Mfuko wa ambu na barakoa vya kumpa mtoto oksijeni moja kwa moja kwenye mapafu.
  • Mtu kama wewe aliyehitimu katika uwanja wa uhaishaji.
  • Ikiwezekana, kifaa cha kutoa joto, kwa mfano taa.

7.2 Aina za uhaishaji wa mtoto mchanga

7.2.2 Kabla ya uhaishaji