8.4.3 Matatizo ya mlalo wa kutanguliza uso

Matatizo kwa fetasi ni haya:

  • Leba iliyozuiliwa na uterasi iliyopasuka
  • Prolapsi ya kiungamwana
  • Majeraha ya uso
  • Kuvuja damu ubongoni (kutokwa na damu kwenye fuvu la kichwa)

8.4.2 Utambuzi wa mlalo wa kutanguliza uso

8.5 Mlalo wa kutanguliza paji la uso