Malengo ya Somo la Kipindi cha 4

Baada ya Kipindi hiki unapaswa uweze:

4.1 Kufafanua na kutumia kwa usahihi maneno yote maalumu yalioandikwa kwa herufi nzito. (swali la kujitathmini 4.1)

4.2 Kueleza michakato ya kifiziologia na mabadiliko yanayotokea wakati wa mzunguko wa hedhi. (maswali ya kujitathmini 4.1 na 4.2)

4.3 Kueleza udhibiti wa homoni katika mfumo wa uzazi wa kike. (maswali ya kujitathmini 4.3 na 4.4) 

Kipindi cha 4 Udhibiti wa Homoni katika Mfumo wa Uzazi wa Kike

4.1 Homoni za uzazi wa kike