Malengo ya Somo la Kipindi cha 5

Katika Kipindi hiki utajifunza:

5.1 Kufasili na kutumia kisahihi maneno yote yaliyoandikwa kwa herufi nzito (Swali la Kujitathmini 5.1)

5.2 Kueleza kuhusu utungisho, upandikizaji kwenye uterasi wa ova iliyotungishwa, na vipindi vya mwanzo vya kukua kwa embrio na plasenta. (Swali la Kujitathmini 5.1 na 5.2)

5.3 Eleza jinsi mzunguko wa damu kwenye fetasi unavyofanyika na jinsi fetasi hupokea chakula kutoka kwa mama kupitia plasenta. (Swali la Kujitathmini 5.1 na 5.3)

Kipindi cha 5 Utungisho, Upandikizaji, na Mzunguko wa Damu kwenye Fetasi na Plasenta

5.1 Seli za uzazi za kiume na za kike