5.4.4 Usanisi wa homoni katika plasenta

Plasenta ni ogani muhimu inayotoa homoni kwa muda mrefu wakati wa ujauzito. Plasenta hutoa gonadotropini za kikorioni za kibinadamu (GKK), ostrojeni na projestini. Uchunguzi wa kubaini ujauzito hutambua GKK katika mkojo wa mwanamke. Jukumu la homoni hizi ni kudumisha plasenta huku fetasi ikiendelea kukua, na kuzuia ovulesheni na muhula wa hedhi ili mwanamke asipate mimba tena hadi baada ya kuzaa.

Katika Kipindi kinachofuata, tutazingatia uhusiano ulio tofauti, kati ya anatomi ya fetasi na ya mama – miundo ya mifupa ya pelvisi ya mama na fuvu la fetasi.

5.4.3 Plasenta kama kichungi

Muhtasari wa Kipindi cha 5