Malengo ya Somo la Kipindi cha 6

Baada ya kipindi hiki, unapaswa kuwa na uwezo wa:

6.1 Kufasili na kutumia kwa usahihi maneno yote muhimu yaliyoandikwa kwa herufi nzito. (Maswali ya Kujitathmini 6.1, 6.2 na 6.3)

6.2 Kueleza kuhusu pelvisi ya mwanamke na kutambua sifa muhimu za utunzaji wa kiukunga. (Maswali ya Kujitathmini 6.1, 6.2 na 6.3)

6.3 Kueleza sifa kuu za fuvu la fetasi na umuhimu wa sifa hizi katika leba na kuzaa. (Maswali ya Kujitathmini 6.1, 6.2 na 6.3)

Kipindi cha 6 Maumbile ya Pelvisi ya Mwanamke na Fuvu la Fetasi

6.1 Pelvisi ya mwanamke iliyo ya kimfupa