7.8.1 Linea nigra

Mstari huu mweusi unaweza kutokea katikati ya kitovu na simfisisi ya kinena (mfupa wa kinena); katika baadhi ya wanawake mstari huu unaweza kupanda hadi kwenye stanamu (mfupa ulio katikati ya matiti). Mstari huu ni utoleshaji wa hali ya juu wa dutu za rangi ya kunde katika seli za ngozi zilizo katika sehemu hii, utaratibu ambao husababishwa na homoni. Baada ya kuzaa, mstari huu huanza kufifia, ingawa huenda usiishe kabisa.

7.8 Mabadiliko ya ngozi

7.8.2 Kinyago cha ujauzito (kloasima)