7.8.2 Kinyago cha ujauzito (kloasima)

Baadhi ya wanawake huwa na alama ya rangi ya kahawia usoni na kwenye paji la uso, ambayo hujulikana kama ’kinyago cha ujauzito’ (au kloasima). Hali hii humfanya kuwa na rangi ya shaba. Hali hii huanza katika wiki ya 16 ya ujauzito huku ikiongezeka polepole na kufifia baada ya kuzaa. Utajifunza kuhusu jambo hili katika Kipindi cha 8.

7.8.3 Alama za kuvutika