7.8.3 Alama za kuvutika

Huku uzito wa mwanamke huyu unapoongenzeka, ngozi huvutika katika maeneo yasiyoweza kukua zaidi - fumbatio, mapaja na matiti. Alama za kuvutika za rangi ya kahawia au waridi zinaweza kutokea katika baadhi ya wanawake, jambo linaloweza kutokea upesi sana. Alama hizi kwa kawaida hufifia baada ya kuzaa, ingawa huwa haziishi kabisa.

7.8.2 Kinyago cha ujauzito (kloasima)

7.8.4 Tezi za jasho