7.8.4 Tezi za jasho
Utendakazi wa tezi za jasho kote mwilini kwa kawaida huongezeka wakati wa ujauzito, jambo linalomfanya mwanamke huyu kutoa jasho jingi zaidi ya kawaida, hasa wakati wa majira ya joto au baada ya kufanya kazi ya sulubu.
Back to previous pagePrevious
7.8.3 Alama za kuvutika