10.4 Hitimisho
Katika kipindi hiki, umejifunza jinsi ya kupima urefu wa fandasi kwa kutumia vidole vyako au chenezo. Pia umejifunza jinsi ya kufasili matokeo ya vipimo na kuchukua hatua mwafaka. Katika kipindi kinachofuata, utajifunza jinsi ya kuchunguza mtoto alipo kwa kutomasa (kuhisi) fumbatio la mama na kusikiza mahali ulipo mpigo wa moyo wa fetasi.
Back to previous pagePrevious
10.3.3 Uterasi inakua polepole sana