Skip to main content
Utunzaji katika Ujauzito

Utunzaji katika Ujauzito

If you create an account, you can set up a personal learning profile on the site.

Mchoro11.1 (a) Hisi fumbatio la mama kwa mikono yako kwa kila upande, ukisukuma pole pole kwa kila mkono kwa zamu. Unapaswa uweze kuhisi mtoto akiwa amelala wima - yaani kichwa chini. (b) Iwapo mtoto amelala kingamo, unaweza kuhisi kichwa na matako yake kwenye pande za mama.

 11.2.1 Je mtoto yuko wima ?