Malengo ya Somo la Kipindi cha 12

12.1 Kufafanua na kutumia kwa usahihi maneno yote muhimu yaliyochapishwa kwa herufi nzito. (Swali la Kujitathmini 12.1)

12.2 Kutambua matatizo madogo yanayoweza kuwakumba wanawake katika ujauzito na ueleze jinsi yanavyoweza kudhibitiwa. (Maswali ya Kujitathmini 12.2 na 12.3)

Kipindi cha 12 Matatizo Madogo ya ujauzito

12.1 Matatizo yanayohusiana na mmeng’enyo wa chakula na chakula