12.1 Matatizo yanayohusiana na mmeng’enyo wa chakula na chakula

Kuna matatizo kadhaa yanayotokea sana yanayohusiana na chakula, au umeng’enyaji wa chakula. Njia nyingine ya kuyaainisha matatizo haya ni kuyachukulia kama yanayoathiri mfumo wa ufereji wa utumbo.

Malengo ya Somo la Kipindi cha 12

12.1.1 Kichefuchefu, kutapika, na hiparemesisi gravidaramu